pmbet

Ahoua akabidhiwa jezi namba 10 CR Belouizdad.

Joyce Shedrack

January 24, 2026
Share :

Aliyekuwa kiungo wa @simbasctanzania Jean Ahoua ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya CR Belouizdad ya Algeria amekabidhiwa jezi namba 10.

Jean Charles Ahoua dans le viseur de la JS Kabylie | AfricaFoot
 

Nyota huyo aliyeuzwa na wekundu wa msimbazi Simba ameanza rasmi mazoezi na timu yake hiyo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet