pmbet

Aziz Ki aitwa timu ya Taifa akitokea Wydad AC.

Joyce Shedrack

May 22, 2025
Share :

Kiungo Stephane Aziz Ki ameitwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Burkina Faso kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki kwa mujibu wa kalenda ya FIFA watakazocheza dhidi ya Tunisia na Zimbabwe.

Yanga star Aziz Ki set to join Wydad Casablanca ahead of Club World Cup |  The Guardian

Katika Orodha ya wachezaji walioitwa kwenye kikosi cha Burkina Faso mchezaji huyo ametambulishwa kama mchezaji wa Wydad Athletic na siyo mchezaji wa Yanga.

 

Nyota huyo ambaye ameonekana akiondoka Nchini siku chache zilizopita bado klabu yake haijaweka wazi kama ni kweli wamemuuza kwenda klabu hiyo ya Morocco na siyo mchezaji wao tena.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet