pmbet

Bidii inaweza kumfikisha Lamine kiwango cha Ronaldo na Messi - Flick

Eric Buyanza

May 3, 2025
Share :

Kocha wa Barcelona Hansi Flick amesema jana Lamine Yamal lazima akaze na kuongeza bidii ili aweze kufikia kiwango cha Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.

 

"Sio tu kipaji alichonacho, lakini inahitajika bidii kwelikweli ili aweze kufikia kiwango kama cha Cristiano Ronaldo au Lionel Messi” anasema Hansi.

 

Simone Inzaghi, kocha wa Inter Milan yeye anasema kipaji alichonacho Yamal mwenye umri wa miaka 17 hutokea kwa nadra sana kila baada ya miaka 50.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet