Camavinga apagawa na muziki wa Davido.
Joyce Shedrack
June 5, 2025
Share :
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Eduardo Camavinga raia wa Ufaransa ameonyesha ushabiki wake na namna anavyoukubali muziki wa Afrobeat kutoka kwa Mwanamuziki Davido wa Nchini Nigeria.

Camavinga ameonekana kusapoti ngoma za staa huyo wa Nigeria hasa kupitia album yake ya 5IVE aliyomshirikisha OmahLay mchezaji huyo
ame-share kupitia insta story yake picha akiwa kwenye gari lake akipiga ngoma ya ‘withyou’ ya Davido.