pmbet

Leo Mnyama atafanikiwa kurejesha furaha ya mashabiki wake?.

Joyce Shedrack

January 24, 2026
Share :

Klabu ya Simba leo saa 1:00 usiku wanataraji kushuka dimbani wakiwa ugenini nchini Tunisia wakicheza dhidi ya Esperance De Tunis, mechi ya Kundi D katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Stade Malien 2-1 Simba SC: Ni Vipigo Tu! - JamboMail.com

Simba na mwenyeji wake Esperance hawajapata ushindi katika mechi zao mbili zilizopita leo wanatarajia kusaka ushindi wa kwanza kwenye dimba la Hammadi Agreb.


Unadhani Mnyama @simbasctanzania atafanikiwa kurejesha matumaini ya mashabiki wake katika michuano hiyo?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet