Lissu afikishwa mahakamani
Sisti Herman
June 2, 2025
Share :
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akiingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo Jumatatu Juni 2, 2025 huku akiwa amezungukwa na askari magereza. Kesi ya Lissu anayekabiliwa na mashtaka mawili, inaendeshwa leo Jumatatu Juni 2, 2025.