pmbet

Lissu afikishwa mahakamani

Sisti Herman

June 2, 2025
Share :

 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akiingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo Jumatatu Juni 2, 2025 huku akiwa amezungukwa na askari magereza. Kesi ya Lissu anayekabiliwa na mashtaka mawili, inaendeshwa leo Jumatatu Juni 2, 2025.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet