pmbet

Mamelodi mabingwa wa Afrika Kusini kwa mara ya 8 mfululizo.

Joyce Shedrack

May 14, 2025
Share :

Klabu ya Mamelodi Sundowns wametangazwa rasmi kuwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini kwa msimu wa 2024/25 kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Chippa United usiku huu huku wakifikisha alama 70 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote baada ya michezo yote ligi.

Mamelodi Sundowns team guide: History, trophies won and notable former  players of 2025 FIFA Club World Cup club | DAZN News CA
Masandawana wanaonolewa na Miguel Cardoso wametwaa ubingwa huo kwa mara ya 8 mfululizo huku likiwa ni taji lao la 15 la ligi kuu Nchini humo. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet