pmbet

Mkuu wa Polisi Chanika afariki dunia kwa ajali ya gari.

Joyce Shedrack

March 17, 2025
Share :

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika SP Awadhi Mohamed Chico amefariki dunia siku ya leo saa moja asubuhi kwa ajali ya gari katika barabara ya Pugu wakati akielekea kazini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala ACP Yustino Mgonja amethibitisha tukio hilo akitangaza kifo cha SP Awadhi muda mfupi uliopita kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii za Jeshi la Polisi Tanzania. 

 

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali kuu ya Polisi Baracks na kesho tarehe 18/03/2025 utaagwa hospitalini hapo na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet