Nchi 10 zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta duniani
Eric Buyanza
April 10, 2026
Share :

MAREKANI- MAPIPA MILIONI 22
Kwa zaidi ya miaka saba mfulululizo, Marekani imekuwa ikiongoza katika uzalishaji wa mafuta, na huzalisha zaidi ya mapipa millioni 22 kila siku.
SAUDI ARABIA- MAPIPA MILLIONI 10
Saudi Arabia husambaza 17% ya mafuta kote duniani na pia inahifadhi kubwa ya mafuta.
URUSI- MAPIPA MILLION 10
Urusi huzalisha zaidi ya mapipa millioni 10 kwa siku, mafuta hayo yakipatikana magharibi mwa Serbia.
CANADA – MAPIPA MILLIONI 5
Mwaka wa 2024, uzalishaji wa mafuta nchini Canada ulikuwa unakaribia mapipa millioni 6 kwa siku.
CHINA- MAPIPA MILLION 5
Kulingana na takwimu zilizochapishwa mwaka wa 2024, China huzalisha mapipa millioni 5.33 ya mafuta kila siku.
IRAN- MAPIPA MILLION 4.5
Iran ni taifa la sita katika ukubwa wa uzalishaji wa mafuta.
UAE- MAPIPA MILLION 4.5
Zaidi ya mwongo mmoja, UAE imekuwa miongoni mwa mataifa kumi yenye uzalishaji mkubwa wa mafuta, na huzalisha mapipa millioni 4.51 kila siku.
IRAQ- MAPIPA MILLION 4.5
Iraq huzalisha mapipa millioni 4.4 kwa siku kulingana na takwimu za 2024.
BRAZIL- MAPIPA MILLION 4
Mwaka wa 2024, Brazil ilikuwa inazalisha mapipa millioni 4.28.
Brazil inatarajiwa kuwa miongoni mwa mataifa matano duniani yenye uzalishaji mkubwa wa mafuta katika siku za usoni.
KUWAIT- MAPIPA MILLION 2.78
Kuwait huzalisha mapipa millioni 2.78 kila siku.
BBC





