pmbet

Nchi 10 zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta duniani

Eric Buyanza

April 10, 2026
Share :

MAREKANI- MAPIPA MILIONI 22

Kwa zaidi ya miaka saba mfulululizo, Marekani imekuwa ikiongoza katika uzalishaji wa mafuta, na huzalisha zaidi ya mapipa millioni 22 kila siku.

 

SAUDI ARABIA- MAPIPA MILLIONI 10

Saudi Arabia husambaza 17% ya mafuta kote duniani na pia inahifadhi kubwa ya mafuta.
 

URUSI- MAPIPA MILLION 10

Urusi huzalisha zaidi ya mapipa millioni 10 kwa siku, mafuta hayo yakipatikana magharibi mwa Serbia.

 

CANADA – MAPIPA MILLIONI 5

Mwaka wa 2024, uzalishaji wa mafuta nchini Canada ulikuwa unakaribia mapipa millioni 6 kwa siku.

 

CHINA- MAPIPA MILLION 5

Kulingana na takwimu zilizochapishwa mwaka wa 2024, China huzalisha mapipa millioni 5.33 ya mafuta kila siku.
 

IRAN- MAPIPA MILLION 4.5

Iran ni taifa la sita katika ukubwa wa uzalishaji wa mafuta.
 

UAE- MAPIPA MILLION 4.5

Zaidi ya mwongo mmoja, UAE imekuwa miongoni mwa mataifa kumi yenye uzalishaji mkubwa wa mafuta, na huzalisha mapipa millioni 4.51 kila siku.
 

IRAQ- MAPIPA MILLION 4.5

Iraq huzalisha mapipa millioni 4.4 kwa siku kulingana na takwimu za 2024.
 

BRAZIL- MAPIPA MILLION 4

Mwaka wa 2024, Brazil ilikuwa inazalisha mapipa millioni 4.28.

Brazil inatarajiwa kuwa miongoni mwa mataifa matano duniani yenye uzalishaji mkubwa wa mafuta katika siku za usoni.
 

KUWAIT- MAPIPA MILLION 2.78

Kuwait huzalisha mapipa millioni 2.78 kila siku.
 

BBC

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet