pmbet

Ronaldo na Messi watupwa nje ya mashindano ya Kimtaifa.

Joyce Shedrack

May 1, 2025
Share :

Klabu anayoitumikia mshindi wa Ballon d'or mara tano Cristiano Ronaldo Al Nassr imeondolewa kwenye mashindano ya Klabu bingwa Barani Asia hatua ya Nusu fainali dhidi ya Kawasaki Frontale  baaada ya kupoteza mchezo kwa idadi ya magoli 3-2.

Cristiano Ronaldo agrees to extend Al-Nassr contract as he snubs potential  Neymar link-up at Al-Hilal to remain 'highest-paid player in football  history' | Goal.com English Saudi Arabia
Lakini pia timu anayoichezea mshindi wa Ballon d'or mara nane Lionel Messi Inter Miami CF ya Marekani  wameondolewa kwenye mashindano ya klabu bingwa barani Amerika ‘Concacaf Champions League’ baada ya kipigo cha 3-1 kutoka kwa Vancouver WhiteCaps FC.

 

Hivyo nyota hao wawili hatawashiriki tena mashindano makubwa ngazi ya klabu kwa msimu huu mpaka msimu ujao.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet