pmbet

Simba yavuna alama tatu kwa mikwaju ya penati dhidi ya Mashujaa.

Joyce Shedrack

May 2, 2025
Share :

Mnyama amevuna alama zote tatu dhidi ya Mashujaa akitoka nyuma kwa goli 1 hadi kupata magoli 2 kwa mikwaju wa penati kipindi cha pili.

Magoli ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na Lionel Ateba.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet