pmbet

Viongozi wa Afrika waliopo madarakani kwa muda mrefu

Sisti Herman

June 16, 2025
Share :

 

Viongozi wa Afrika waliopo madarakani kwa muda mrefu zaidi;

1. Teodoro Obiang, Guinea ya Ikweta (miaka 42)
2. Paul Biya, Cameroon (miaka 42)
3. Yoweri Museveni, Uganda (miaka 39)
4. Isaias Afwerki, Eritrea (miaka 32)
5. Paul Kagame, Rwanda (miaka 25)

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet