Yanga yazindua jezi rasmi za Klabu Bingwa Msimu huu.
Joyce Shedrack
November 20, 2024
Share :
Kama ilivyo utamaduni kwa miaka ya karibuni, klabu ya Yanga imezindua jezi mpya watakazotumia kwaajili ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika (CAFC).
Yanga imezindua jezi tatu ambazo ni;
1. Kijani - mechi za nyumbani.
2. Gold - mechi za ugenini.
3. Nyeusi- Jezi za ziada.